Hebu fikiri kama ungepata kiasi kikubwa cha kujitegemea kufanya mambo yako... je ungeendelea kufanya kazi ya mtu? hapa naamini hata wewe unngeacha kazi... sasa basi ukiona mambo yako kama hivyo yalivyo basi jua uko kwenye mtego wa ajira kwani kamwe mtego huo upo kukufanya uitegemee ajira milele... haya basi na tujifunze sote kupitia makala hii mpya ya uchumi ambayo imeandikwa na:
SOMO LA KWANZA KUHUSU UCHUMI.
Jina: Gwemela Conrad Michael.
Elimu itolewayo: Ujasiriamali na uchumi.
Vitabu vya kuhakiki.
1. Rich dad poor dad by Robert kiyosaki.
2. The power of subconscious mind.
3. The Contagious
4. Art of war by Sitzu.
Mobile number: +255674167126
email gwemelaconrad@gmail.com
Youtube Channel: Brightermango
twitter/instagram: brightermango
Awali ya yote nimshukuru mwenyezi Mungu anayetupa uhai huu wa kila siku na kuturuhusu tuyajue yote tunayoyajua kwa sasa.
Pili; Nimshukuru Mama na Baba pamoja na familia yangu kwa ujumla kutokana na upendo wao wa dhati kwangu kwa kipindi chote cha maisha haya ya upendo wa kweli.
Tatu niswashukuru Marafiki na wapendwa wasomaji wa makala zangu hizi za elimu ya uchumi wa kujitegemea...
Hivyo ni matumaini yangu kuwa Kupitia ushirikiano na ushirikishwaji wa kila pande tutapiga hatua..
*STORI_YA_ROBERT_KIYOSAKI*
Robert kiyosaki Muandishi wa kitabu cha "Rich_dad_poor_dad" akiwa na umri wa miaka 9 aliwahi muuliza baba yake ambaye alikuwa na elimu ya juu Yaani Ph.D kuwa kwanini shuleni hawatoi elimu ya fedha...na baba yake alimjibu kuwa serikali haijaruhusu wakufunzi watoe elimu fedha...akamuuliiza tena kwanini basi yeye ameamua kufanya kazi ya serikali.... Baba akamjibu kuwa yeye anafanya kazi na alisoma ili afanye kazi serikalini na sio vinginevyo...baba yake akamwambia kuwa lakini asijali kwani yuko na rafiki ambaye pia naye kwake ni baba wa rafiki yake kipenzi aitwaye *Ema*.
Basi Robert akaamua kwenda kwa baba yake Ema na kumtaka awe mwalimu wake kuhusiana masuala ya fedha...
sababu ya yeye kumuamini mzee yule kwenye masuala ya kifedha ni kwa sababu ya uzoefu wake kwenye nyanja hiyo..... Kwani alianza kujifunza kutoka kwa watu halisi wa kila kitu alichotaka kukifanya.
####*WALIMU HALISI NA WASIO*####
Baba yake Ema aliwapoteza wazazi wake akiwa na umri miaka 13 hivyo ilikuwa wazi ni pigo kwenye maisha yake na hivyo alijifunza karibuni kitu kutoka kwa walimu halisi yaani wale wanaofundisha vitu ambavyo wao pia wanafanya... kama vile Wahasibu na uhasibu pia kwa upande mwingine kujua mzunguko wa fedha kutoka kwa mtumiaji wa mwisho na muuzaji wa jumla na pia athari zitokanazo na ukwasi kubaki mahali pasipo na kuondoka.
... Pia alipata na nafasi ya kujua saikolojia iliyopo nyuma ya mafanikio ya kweli na utajiri au ukwasi wa kweli na tofauti kuu kati ya muajiriwa na mjasiriamali mwenye mafanikio ya wazi.
...Je? ROBERT KIYOSAKI alijifunza Nini.
itaendelea!
Comments
Post a Comment