Skip to main content

JINSI WOTE TULIVYO WASIOHAKI...LAKINI TUNAMUHUKUMU MWIZI.

 HIVI UNAFAHAMU KUWA❓


"HATA MWIZI UNAYEMKAMATA BAADA YA KUKUIBIA, NA YEYE PIA ALIKUWA AKIKAMILISHA FURAHA YAKE, SEMA TOFAUTI NA WEWE, YEYE HAWEZI KUVUMILIA MAUMIVU NA KUKUSANYA KIDOGO KIDOGO NA KWAHIVO ANATUMIA NGUVU KUBWA AKILI MBAYA ILI KUPATA PESA AU MALI NYINGI KWA WAKATI MFUPI BILA YA UCHOVU AU MAUMIVU"


matokeo yake yako wazi... Akikamatwa hupatiwa maumivu aliyoyakwepa na hata huchoshwa sana. Kiuhalisia inasemekana kuwa mtu yeyote anayeishi anadhulumu kwa kiasi fulani nafsi au vitu vinanvyomzunguka. Kwa mfano hewa tunayovuta huwa tunaigombania na ndio sababu mapafu yetu hupanda na kushuka IKIWA NI ISHARA YA USHINDANI.


Kwenye utajiri pia, ili mmoja awe maskini, ni lazima yule aliyetajiri amfanye maskini asiwe na elimu...maarifa na zaidi awe na utiifu kwake...kitu ambacho kinafanya sisi kama jamii tuone sawa japokuwa si sawa na ama hakika Mabadiliko ya lazima yanahitajika haraka kwenye jamii yetu.


TATIZO KUU.

"KWENYE JAMII YETU KUNA VITU WAMESHAVIKUBALI NA KUONA VIKO SAHIHI, JAPO KI UHALISIA BAADHI HAVIKO SAHIHI, HII NDIYO WATU HUITA DESTURI... Kwa kawaida watu hukimbilia kusena kuwa "hii ndiyo  desturi yetu.." ili wakamilishe malengo yao" 

 Jamii inalazimisha kuwa,

Maskini haruhusiwi kupata elimu.

Maskini hawezi shiriki maamuzi.

Maskini hapaswi kuonekana sehemu za wazi eti aibu

Maskini eti Ni mtumwa wa tajiri.

Maskini ni wa kukosa haki mahakamani.

Wakati si sahihi na wala si sawa.....


Nafikiri wakati umefika sote tubadilike na kufanya maamuzi sahihi.


Niko natamani wote Tuinuke.... TAJA MAMBO YOYOTE unayohisi jamii imeshayakubali yanayokuathiri kiJAMII NA KIUCHUMI..


TEMBELEA BLOG YANGU GOOGLE KWA KUANDIKA Brightermango...itakuja blog yangu ya kwanza.


imeandikwa na Gwemela Conrad.

CEO.

Brightermango.


photo credit [[ Mary S. Mtui&friend]]


Like my page Brightermango purpose


Nifollow twitter na Insta kama brightermango



Comments

Popular posts from this blog

DID YOU EVER ASK YOURSELF ABOUT THIS BEFORE ? THAT FATE RELY ON YOU CHOICES?

Well it may sound bit rude to ask a kind of such question, but indeed we need to the answer to be assured of one thing, and that is our mind safety on everything that we daily do. some of the other tend to happen as coincidences but other are bit difficult to decide whether they have happened just as the coincidence and therefore put us into worry. you know what? in Africa, people with just such curiosity goes to witch doctors that they may know what holds their future. with the false telling and sometimes enmity creation between the family members is being planted by these witch-doctors.   Which is why people tend to be brought around the corner with nothing related to the future that they were after, unknowingly they become servants to the blasphemer(devil), hahahah um, it is sometime big thing to come up with the idea of fate that holds the future, it is because of what fate holds unto us and the total surrounding that we are in, that we grow curiosity toward future.   ...

IS IT TRUE THAT "LEARNING IS ALL ABOUT REHERSAL''

TAP down bellow in the comment place and share your opinion over this topic of discussion.

HEY YOU THERE... WHAT ARE YOU WAITING FOR?

It is called liking and not loving... if he could have been loving you...he probably could be doing these.. I mean caring actions would be his song towards you.. and good example is that of flower.. when we pluck it from its pot.. that is showing affection... which may result out of greedy and if you water the flower on its pot.. that means you love them..... are we clear now??