HEKIMA YA MAJI NA MWOGELEAJI.
Wakati wa ajali kutokea kwenye maji, na waokoaji kufikia eneo lile kwa wakati, huwa kuna tahadhari ya Muhimu watu hawa huchukua...
Yaani kama umezama(drowned) kwenye maji, kwa mara tatu wewe utaenda chini na kurudi juu ndipo utakufa....hivyo wavuvi na waokoaji huwa wana subiri uzame mara mbili na kukutoa kwenye maji:.
SWALI.. KWANINI HUFANYA HIVI.?
Jibu ni kuwa, kipindi unapopambana na maji, kwa kuzama huwa unakunywa maji mengi na hii inatokana na hofu pia kutojua kuogelea, kwahiyo kipindi umezama mara ya kwanza, huwa bado una NGUVU HATA ZA KUWEZA KUMVUTA MTU AU KITU KARIBU YAKO NA HATA KUPELEKEA NA CHENYEWE KUFA... Hivyo wavuvi hukwepa adha ya kupoteza maisha yao kwa kukusubiri uzame mara ya pili na kisha upoteze nguvu... hapo ndipo na wao wanakuja kukuokoa.
FUNZO NI LIPI SASA HAPA?
Funzo liko wazi, kama kweli unampenda mtu kiasi cha kumsaidia, Basi JIHAKIKISHIE KWANZA USALAMA wako kama vile wanavyofanya wavuvi kabla ya kumuokoa mtu majini.
Walio wengi tunasahau, kuwa upendo wa kweli ni Kumpenda mtu yeyote kama tunavyojipenda wenyewe... na kupenda huko ndio hivi, ya kwamba wote tuwe salama kabla na baada ya misaada tunayopeana.
*ANGALIZO*
IKIWA JAMBO UNALITAKA KULIFANYA LITAHATARISHA USALAMA WAKO WEWE, USILIFANYE MPAKA PALE UTAKAPO GUNDUA JINSI YA KUIKWEPA HATARI YAKE.
kwa haya na mengine mengi Fuata/follow
Blog yangu ya
brightermango
Page yangu ya
Brightermango purpose
Na acount yangu ya
Brighter Mango
Na jiunge na group langu la facebook
Jina ni BRIGHTERMANGO.
MUNGU AWABIRIKI NYOTE.
Comments
Post a Comment