Skip to main content

MAISHA NI SAFARI NA HAKIKA NAULI HULIPWA MWISHO.

 Brightermango.

LAU KAMA TUNGEJUA MAISHA NI SAFARI NA NAULI TUNALIPA MWISHO..
Basi tusingechukiana pasipo sababu, wala kusemana (backbitting) hata kama sababu zingekuwepo basi kwa upendo tungeelezana na pasipo chuki tungerekebishana.
IBADA tungefanya kwa uaminifu mkubwa, walio Wakristo, Misingi ya Imani tungeifuata na kukumbushana huku tukiusiana juu ya siku ile ya Mwisho ya Kiama.

KWA MUSLIMS pia tusingekubali kufanya Ibada peke yetu na tungejifunza dini sana ili kwa nafasi zetu tukusanye nauli za kutosha, Maana ni adhabu kubwa kiasi gani kwa anayeitaliki swala,  Heri mtu yule aionaye njia ya ibada na kuiendea kuliko yule anayejawa na kibri na ukaidi.


MSAADA; siku zote tungekuwa wa kwanza kuwasaidia wanaotuzunguka kwani tungejua ya kuwa vyoote na yote tulinayo hayatoshi Kulipia SAFARI YETU na hivyo tungetaka nyongeza kwenye mali na kila kitu chetu.

WATOTO YATIMA,Kamwe tusingefurahi kuwepo maneno kama "Watoto wa Mitaani" Ilhari tuko na nafasi na uwezo wa kuwatunza, na zaidi tungeondoa kabisa maeneo ya wao kutunzwa na kuishi nao kwenye majumba yetu.
  SAFARI NI SAFARI, Kwa hiyo tusingekubali kubaki nyuma wakati wa kuondoka, na tusingeondoka kama tunahama hivi, bali tungekuwa na wasaa wa kuwapa nafasi zetu wengine waliobaki kwa kuwaelekeza tulivyofanya.
TUSINGE DHULUMU, kama tulivyo waliowengi, huwa tuko bize kuomba punguzo la nauli, kama tungegundua tu kuwa maisha haya ni safari basi tusingeomba punguzo na badala yake tungehitaji zaidi maandalizi ya pesa za kutosha ili tufike salama salimini tukiwa tume keti na tuko tayari.
  KUFA, kusingekuwa kitisho chochote kwani tungetambua ya kuwa huo ndio wakati sahihi wa kuondoka ndani ya lile Gari la safari.
JITAFAKARI, BAADA YA KUFIKA HUKO MWISHO, NAULI UNGEKUWA NAYO YA KULIPIA WALAU KWA KIWANGO CHA KAWAIDA NA SIO KILE CHA LUXURY.

Sidhani kama wote tuko tayari kwa Nauli,, ila cha muhimu Turudi nyuma na kujipanga kwa kurekebisha pale tunapohisi tumekwama na hatimae tuvuke au tusafiri kwa amani tukiwa na NAULI ya safari hii ndefu ya hapa Duniani.
Basi tuwausie na wengine kwa kushirikisha andiko hili.

Kwa Tafakuri kama hizi, nifuate/Nifollow.
Mimi
Brighter Mango

Page yangu
Brightermango purpose
GROUP NI
↪BRIGHTERMANGO
contact +255747270003.

#SHARE

Comments

Popular posts from this blog

SIRI|| KUFANIKIWA NI KUSUBIRI.

 Na brightermango. VIPI UMEJARIBU KILA KITU LAKINI  BADO TU UNAKWAMA? Hapana, hujajaribu kila kitu, JE? umejaribu kuendelea kusubiri zaidi. Kuna wakati tunatamani mambo yaliyo juu ya upeo wetu, na tukishauriwa mara nyingi tunagundua hatukupaswa kuyatamani na badala yake kutafuta uwezo kwanza wa kuwa pale kama wahusika, yaani ninachokisema ni kwamba; "TUNAPOTAMANI KUWA KWENYE SHEREHE YA KUHITIMU ELIMU YA CHUO, BASI TULIPASWA KUWA WANACHUO AU WAHUSIKA KWA NAMNA FULANI" au "HUWEZI TUNUKIWA MEDANI KAMA HUKUSHIRIKI MASHINDANO HUSIKA" Basi ndivyo ilivyo kwenye maisha, Yaani ukiyahitaji mambo fulani hapa duniani, jitahidi ujue vigezo vyake ili na wewe uweze kuwa kama vigezo vinavyokutaka. Sasa kwenye hili letu la kujaribu kila kitu lakini bado husogei, Je? Ndio haiwezekani tena wewe kuinuka juu na kufanya mambo yako kwa mafakio? Nifuate kuna kitu leo nitakufunza,... NGOJA TUCHIMBE BUSARA ZA MABABU. Kutoka kwenye kitabu cha THE LIFE, Kinachohusika na uandishi wa...

DID YOU EVER ASK YOURSELF ABOUT THIS BEFORE ? THAT FATE RELY ON YOU CHOICES?

Well it may sound bit rude to ask a kind of such question, but indeed we need to the answer to be assured of one thing, and that is our mind safety on everything that we daily do. some of the other tend to happen as coincidences but other are bit difficult to decide whether they have happened just as the coincidence and therefore put us into worry. you know what? in Africa, people with just such curiosity goes to witch doctors that they may know what holds their future. with the false telling and sometimes enmity creation between the family members is being planted by these witch-doctors.   Which is why people tend to be brought around the corner with nothing related to the future that they were after, unknowingly they become servants to the blasphemer(devil), hahahah um, it is sometime big thing to come up with the idea of fate that holds the future, it is because of what fate holds unto us and the total surrounding that we are in, that we grow curiosity toward future.   ...

IS IT TRUE THAT "LEARNING IS ALL ABOUT REHERSAL''

TAP down bellow in the comment place and share your opinion over this topic of discussion.