Skip to main content

UMUHIMU WA NDOTO.

 Brightermango.

KILA MTU ATIMIZE NDOTO ZAKE, SIO LAZIMA WOTE WAWE KAMA WEWE.

 Inauma  sana pale unapoona mtu au kundi la watu, wanapoenda kinyume na vile ulivyotamani kuwaona. Kila wakati yamkini ukiwaona unahisi kukwazika, SASA SWALI NI KWAMBA, JE? walipaswa kuwa sawa kama ulivyotaka au walipaswa kufuata matamanio yao binafsi, Ukiepusha ushauri wa mtu kuwa mfuasi wa Iman, au Deen, basi mengine yoote ambayo ni matamanio yetu binafsi hayapaswi kurithiwa na watu wengine, haijalishi ni ndugu, rafiki au hata mtoto wako.


 WANASEMA, SIKU HIZI mtoto huyu anafuata mambo yake tu, au Rafiki yangu simuelewi kwani siku hizi hafanani na mimi. WAPO WENGI WANATAMANI KUWAFANYA WENGINE KUFANANA NAO, nafikiri ni kosa la kimkakati linalotokea tangu wazazi wetu wanapotuzaa,kututunza, na kutuongoza sisi ambao ni watoto wao.


Iwe kheri kwenu nyote, kwamba, Hakuna Tabia(ndoto) iliyo ya lazima kurithi. 

Unaweza kufaulu kumfanya mtu kuwa kama wewe kwa kiasi fulani, lakini kukutana changamoto kama zako akanasa na kushindwa kufanikiwa kuikwepa changamoto hiyo.

NA HII NDIO SABABU KWENYE FAMILIA KUNA MMOJA ANA JIHESHIMU NA MWINGINE HAJIHESHIMU.

YUPO yule ana MITUSI MINGI MDOMONI, japo kwao hawatukani na wamejaribu kumnyoosha imeshindikana.


HII ndio sababu ambayo wengi tunatamani kuwabadilisha ndugu zetu, kwa kipindi cha udogo wao wanatutii lakini wakiwa wakubwa wanachukua njia nyingine.

JAPO SIO KOSA, SISEMI KUWA SIO HALALI KUWABADILISHA AU KUWARITHISHA TABIA NJEMA.

ILA UKIONA KAIACHA NJIA, MUACHE AWE NA IKITOKEA KAENDELEA KUFANYA YAKE KWA MAFANIKIO BASI MPONGEZE, ILA KAMA ALIKOSEA NA KURUDI KUJIFUNZA BASI ACHA MLANGO WA MAZUNGUMZO WAZI.

Maana bin adamu Tumeumbwa kujikubali zaidi, Hivyo kuna wakati tunakosea kuyaona mambo mazuri kutoka kwa wale wanaotuzunguka kwa kutaka wao tu wafuate yale tunayotaka peke yetu.

 

USIJEJICHUKIA KWA KUMFANYA AWE VILE ULIVYOTAKA... KUNA WATU WAO NI MIFANO DHAHIRI KUFUATA.Lakini sio kila mtu ni mfano dhahiri wa kufuatwa.


LENGO: MALEZI YAKO YASIZUIE NDOTO ZA WANAOKUZUNGUKA.... Haijalishi kiasi gani unawapenda wanaokuzunguka, changamoto ya kuwafanya wafanye tu mambo unayoyapenda wewe peke yako inawanyima nafasi ya kuwa Huru kifikra.

MFANO: Gaidi huwa anafikiri yuko sahihi kukirithisha kizazi chake ndoto zake na kuwaanda watoto wake wawe kama yeye.

Bila kujali nini watoto wanahitaji, atawafundisha kwa lazima mbinu zake na ikibidi anaweza wauwa wakeze tu kutimiza adhma yake.

"Ila hii iko tofauti tu kwa gaidi mmoja mkolombia aliyeitwa Pablo Escobar."


PHOTO:  URIA PETER.


Comments

Popular posts from this blog

SIRI|| KUFANIKIWA NI KUSUBIRI.

 Na brightermango. VIPI UMEJARIBU KILA KITU LAKINI  BADO TU UNAKWAMA? Hapana, hujajaribu kila kitu, JE? umejaribu kuendelea kusubiri zaidi. Kuna wakati tunatamani mambo yaliyo juu ya upeo wetu, na tukishauriwa mara nyingi tunagundua hatukupaswa kuyatamani na badala yake kutafuta uwezo kwanza wa kuwa pale kama wahusika, yaani ninachokisema ni kwamba; "TUNAPOTAMANI KUWA KWENYE SHEREHE YA KUHITIMU ELIMU YA CHUO, BASI TULIPASWA KUWA WANACHUO AU WAHUSIKA KWA NAMNA FULANI" au "HUWEZI TUNUKIWA MEDANI KAMA HUKUSHIRIKI MASHINDANO HUSIKA" Basi ndivyo ilivyo kwenye maisha, Yaani ukiyahitaji mambo fulani hapa duniani, jitahidi ujue vigezo vyake ili na wewe uweze kuwa kama vigezo vinavyokutaka. Sasa kwenye hili letu la kujaribu kila kitu lakini bado husogei, Je? Ndio haiwezekani tena wewe kuinuka juu na kufanya mambo yako kwa mafakio? Nifuate kuna kitu leo nitakufunza,... NGOJA TUCHIMBE BUSARA ZA MABABU. Kutoka kwenye kitabu cha THE LIFE, Kinachohusika na uandishi wa...

DID YOU EVER ASK YOURSELF ABOUT THIS BEFORE ? THAT FATE RELY ON YOU CHOICES?

Well it may sound bit rude to ask a kind of such question, but indeed we need to the answer to be assured of one thing, and that is our mind safety on everything that we daily do. some of the other tend to happen as coincidences but other are bit difficult to decide whether they have happened just as the coincidence and therefore put us into worry. you know what? in Africa, people with just such curiosity goes to witch doctors that they may know what holds their future. with the false telling and sometimes enmity creation between the family members is being planted by these witch-doctors.   Which is why people tend to be brought around the corner with nothing related to the future that they were after, unknowingly they become servants to the blasphemer(devil), hahahah um, it is sometime big thing to come up with the idea of fate that holds the future, it is because of what fate holds unto us and the total surrounding that we are in, that we grow curiosity toward future.   ...

IS IT TRUE THAT "LEARNING IS ALL ABOUT REHERSAL''

TAP down bellow in the comment place and share your opinion over this topic of discussion.