Skip to main content

Posts

HII HAPA SABABU YA KWANINI MSHAHARA HAUKUTOSHI

 Hebu fikiri kama ungepata kiasi kikubwa cha kujitegemea kufanya mambo yako... je ungeendelea kufanya kazi ya mtu? hapa naamini hata wewe unngeacha kazi... sasa basi ukiona mambo yako kama hivyo yalivyo basi jua uko kwenye mtego wa ajira kwani kamwe mtego huo upo kukufanya uitegemee ajira milele... haya basi na tujifunze sote kupitia makala hii mpya ya uchumi ambayo imeandikwa na: SOMO LA KWANZA KUHUSU UCHUMI. Jina: Gwemela Conrad Michael. Elimu itolewayo: Ujasiriamali na uchumi. Vitabu vya kuhakiki. 1. Rich dad poor dad by Robert kiyosaki. 2. The power of subconscious mind. 3. The Contagious 4. Art of war by Sitzu. Mobile number: +255674167126 email gwemelaconrad@gmail.com Youtube Channel: Brightermango twitter/instagram: brightermango Awali ya yote nimshukuru mwenyezi Mungu anayetupa uhai huu wa kila siku na kuturuhusu tuyajue yote tunayoyajua kwa sasa. Pili; Nimshukuru Mama na Baba pamoja na familia yangu kwa ujumla kutokana na upendo wao wa dhati kwangu kwa kipindi chote cha ma...

HEY YOU THERE... WHAT ARE YOU WAITING FOR?

It is called liking and not loving... if he could have been loving you...he probably could be doing these.. I mean caring actions would be his song towards you.. and good example is that of flower.. when we pluck it from its pot.. that is showing affection... which may result out of greedy and if you water the flower on its pot.. that means you love them..... are we clear now??

IS IT TRUE THAT "LEARNING IS ALL ABOUT REHERSAL''

TAP down bellow in the comment place and share your opinion over this topic of discussion.

DID YOU EVER ASK YOURSELF ABOUT THIS BEFORE ? THAT FATE RELY ON YOU CHOICES?

Well it may sound bit rude to ask a kind of such question, but indeed we need to the answer to be assured of one thing, and that is our mind safety on everything that we daily do. some of the other tend to happen as coincidences but other are bit difficult to decide whether they have happened just as the coincidence and therefore put us into worry. you know what? in Africa, people with just such curiosity goes to witch doctors that they may know what holds their future. with the false telling and sometimes enmity creation between the family members is being planted by these witch-doctors.   Which is why people tend to be brought around the corner with nothing related to the future that they were after, unknowingly they become servants to the blasphemer(devil), hahahah um, it is sometime big thing to come up with the idea of fate that holds the future, it is because of what fate holds unto us and the total surrounding that we are in, that we grow curiosity toward future.   ...