Skip to main content

Posts

CONFUSE THEM WITH YOUR SILENCE.

work in silence to keep praying in sikence play hard in silence. and work hard in silence. DONT TALK BACK. DONT INTERFERE. CONCETRATE. Use your Iq level one. Lift each one... and leave no one behind. and finally follow this page and the hashtag below. #E40lesswisdom . https://www.instagram.com/tv/CDs8rhVgSJv/?igshid=142os9zzlqooo https://www.instagram.com/tv/CDs8rhVgSJv/?igshid=142os9zzlqooo
Recent posts

SIRI|| KUFANIKIWA NI KUSUBIRI.

 Na brightermango. VIPI UMEJARIBU KILA KITU LAKINI  BADO TU UNAKWAMA? Hapana, hujajaribu kila kitu, JE? umejaribu kuendelea kusubiri zaidi. Kuna wakati tunatamani mambo yaliyo juu ya upeo wetu, na tukishauriwa mara nyingi tunagundua hatukupaswa kuyatamani na badala yake kutafuta uwezo kwanza wa kuwa pale kama wahusika, yaani ninachokisema ni kwamba; "TUNAPOTAMANI KUWA KWENYE SHEREHE YA KUHITIMU ELIMU YA CHUO, BASI TULIPASWA KUWA WANACHUO AU WAHUSIKA KWA NAMNA FULANI" au "HUWEZI TUNUKIWA MEDANI KAMA HUKUSHIRIKI MASHINDANO HUSIKA" Basi ndivyo ilivyo kwenye maisha, Yaani ukiyahitaji mambo fulani hapa duniani, jitahidi ujue vigezo vyake ili na wewe uweze kuwa kama vigezo vinavyokutaka. Sasa kwenye hili letu la kujaribu kila kitu lakini bado husogei, Je? Ndio haiwezekani tena wewe kuinuka juu na kufanya mambo yako kwa mafakio? Nifuate kuna kitu leo nitakufunza,... NGOJA TUCHIMBE BUSARA ZA MABABU. Kutoka kwenye kitabu cha THE LIFE, Kinachohusika na uandishi wa

UMUHIMU WA NDOTO.

 Brightermango. KILA MTU ATIMIZE NDOTO ZAKE, SIO LAZIMA WOTE WAWE KAMA WEWE.  Inauma  sana pale unapoona mtu au kundi la watu, wanapoenda kinyume na vile ulivyotamani kuwaona. Kila wakati yamkini ukiwaona unahisi kukwazika, SASA SWALI NI KWAMBA, JE? walipaswa kuwa sawa kama ulivyotaka au walipaswa kufuata matamanio yao binafsi, Ukiepusha ushauri wa mtu kuwa mfuasi wa Iman, au Deen, basi mengine yoote ambayo ni matamanio yetu binafsi hayapaswi kurithiwa na watu wengine, haijalishi ni ndugu, rafiki au hata mtoto wako.  WANASEMA, SIKU HIZI mtoto huyu anafuata mambo yake tu, au Rafiki yangu simuelewi kwani siku hizi hafanani na mimi. WAPO WENGI WANATAMANI KUWAFANYA WENGINE KUFANANA NAO, nafikiri ni kosa la kimkakati linalotokea tangu wazazi wetu wanapotuzaa,kututunza, na kutuongoza sisi ambao ni watoto wao. Iwe kheri kwenu nyote, kwamba, Hakuna Tabia(ndoto) iliyo ya lazima kurithi.  Unaweza kufaulu kumfanya mtu kuwa kama wewe kwa kiasi fulani, lakini kukutana changamoto kama zako akanasa n

MAISHA NI SAFARI NA HAKIKA NAULI HULIPWA MWISHO.

 Brightermango. LAU KAMA TUNGEJUA MAISHA NI SAFARI NA NAULI TUNALIPA MWISHO.. Basi tusingechukiana pasipo sababu, wala kusemana (backbitting) hata kama sababu zingekuwepo basi kwa upendo tungeelezana na pasipo chuki tungerekebishana. IBADA tungefanya kwa uaminifu mkubwa, walio Wakristo, Misingi ya Imani tungeifuata na kukumbushana huku tukiusiana juu ya siku ile ya Mwisho ya Kiama. KWA MUSLIMS pia tusingekubali kufanya Ibada peke yetu na tungejifunza dini sana ili kwa nafasi zetu tukusanye nauli za kutosha, Maana ni adhabu kubwa kiasi gani kwa anayeitaliki swala,  Heri mtu yule aionaye njia ya ibada na kuiendea kuliko yule anayejawa na kibri na ukaidi. MSAADA; siku zote tungekuwa wa kwanza kuwasaidia wanaotuzunguka kwani tungejua ya kuwa vyoote na yote tulinayo hayatoshi Kulipia SAFARI YETU na hivyo tungetaka nyongeza kwenye mali na kila kitu chetu. WATOTO YATIMA,Kamwe tusingefurahi kuwepo maneno kama "Watoto wa Mitaani" Ilhari tuko na nafasi na uwezo wa kuwatunza, n

HEKIMA YA MAJI NA MUOGELEAJI.

 HEKIMA YA MAJI NA MWOGELEAJI.  Wakati wa ajali kutokea kwenye maji, na waokoaji kufikia eneo lile kwa wakati, huwa kuna tahadhari ya Muhimu watu hawa huchukua...  Yaani kama umezama(drowned) kwenye maji, kwa mara tatu wewe utaenda chini na kurudi juu ndipo utakufa....hivyo wavuvi na waokoaji huwa wana subiri uzame mara mbili na kukutoa kwenye maji:. SWALI.. KWANINI HUFANYA HIVI.? Jibu ni kuwa, kipindi unapopambana na maji, kwa kuzama huwa unakunywa maji mengi na hii inatokana na hofu pia kutojua kuogelea, kwahiyo kipindi umezama mara ya kwanza, huwa bado una NGUVU HATA ZA KUWEZA KUMVUTA MTU AU KITU KARIBU YAKO NA HATA KUPELEKEA NA CHENYEWE KUFA... Hivyo wavuvi hukwepa adha ya kupoteza maisha yao kwa kukusubiri uzame mara ya pili na kisha upoteze nguvu... hapo ndipo na wao wanakuja kukuokoa. FUNZO NI LIPI SASA HAPA? Funzo liko wazi, kama kweli unampenda mtu kiasi cha kumsaidia, Basi JIHAKIKISHIE KWANZA USALAMA wako kama vile wanavyofanya wavuvi kabla ya kumuokoa mtu majini. Walio wengi

UMUHIMU MKUBWA USIOUJUA WA #MAZOEZI.

 Na brightermango.      Mazoezi ni ziada ya kile unachofanya kwa muda mfupi kila siku ili kuuchosha mwili wako, kwa hiyo ukitaka kuyaona matokeo ya mazozoezi unayoyafanya basi ni muhimu sana uwe unazidisha kila wakati mahali ulipoishia kufanya siku iliyopita. Hello?  mimi niko poa na ninamshkuru Mungu kwa uhai wangu. Ni matumaini yangu KUWA NA WEWE NI MZIMA... Ni muda sasa umekuwa ukifanya mazoezi na cha ajabu unajisifia huwa unafanya mazoezi, wakati kila siku unarudia idadi ile ile ya mazoezi, kitu ambacho hakikusaidii chochote, kwani ulichofanya ni sawa na kazi yako unayofanya kujiingizia kipato chako cha kila siku. Hebu sikiliza kwa umakini kwa kile ninachotaka kukwambia,  FAIDA ZA MAZOEZI KWA UJUMLA.  Faida zifuatazo zinaambatana na mwili wenye mazoezi;  1. HUJENGA KINGA IMARA YA MWILI. Kadri unavyofanya mazoezi ndivyo unavyoruhusu utengenezwaji mwingi wa chembe nyeupe za seli za damu ambazo ndio walinzi wakubwa wa mwili wetu, na kwa wakati fulani tumesaidika kwa ulinzi huu hata ka

JINSI WOTE TULIVYO WASIOHAKI...LAKINI TUNAMUHUKUMU MWIZI.

 HIVI UNAFAHAMU KUWA❓ "HATA MWIZI UNAYEMKAMATA BAADA YA KUKUIBIA, NA YEYE PIA ALIKUWA AKIKAMILISHA FURAHA YAKE, SEMA TOFAUTI NA WEWE, YEYE HAWEZI KUVUMILIA MAUMIVU NA KUKUSANYA KIDOGO KIDOGO NA KWAHIVO ANATUMIA NGUVU KUBWA AKILI MBAYA ILI KUPATA PESA AU MALI NYINGI KWA WAKATI MFUPI BILA YA UCHOVU AU MAUMIVU" matokeo yake yako wazi... Akikamatwa hupatiwa maumivu aliyoyakwepa na hata huchoshwa sana. Kiuhalisia inasemekana kuwa mtu yeyote anayeishi anadhulumu kwa kiasi fulani nafsi au vitu vinanvyomzunguka. Kwa mfano hewa tunayovuta huwa tunaigombania na ndio sababu mapafu yetu hupanda na kushuka IKIWA NI ISHARA YA USHINDANI. Kwenye utajiri pia, ili mmoja awe maskini, ni lazima yule aliyetajiri amfanye maskini asiwe na elimu...maarifa na zaidi awe na utiifu kwake...kitu ambacho kinafanya sisi kama jamii tuone sawa japokuwa si sawa na ama hakika Mabadiliko ya lazima yanahitajika haraka kwenye jamii yetu. TATIZO KUU. "KWENYE JAMII YETU KUNA VITU WAMESHAVIKUBALI NA KUONA VIKO